Wakolosai 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jambo lolote mnalofanya kwa maneno au kwa matendo, fanyeni mambo yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kupitia kwake.+
17 Jambo lolote mnalofanya kwa maneno au kwa matendo, fanyeni mambo yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kupitia kwake.+