Wakolosai 3:23, 24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lolote mnalofanya, lifanyeni kwa nafsi* yote kama kwa Yehova,*+ na si kwa wanadamu, 24 kwa maana mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Yehova* urithi kama thawabu.+ Mtumikieni Bwana, Kristo.
23 Lolote mnalofanya, lifanyeni kwa nafsi* yote kama kwa Yehova,*+ na si kwa wanadamu, 24 kwa maana mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Yehova* urithi kama thawabu.+ Mtumikieni Bwana, Kristo.