8 Tunzeni akili zenu, iweni waangalifu!+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+ 9 Lakini chukueni msimamo dhidi yake,+ mkiwa imara katika imani, mkijua kwamba mateso yaleyale yanaupata ushirika mzima wa ndugu zenu ulimwenguni.+