2 Wakorintho 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo sisi ni mabalozi+ walio badala ya Kristo,+ kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi. Kama walio badala ya Kristo, tunaomba: “Mpatanishwe na Mungu.”
20 Kwa hiyo sisi ni mabalozi+ walio badala ya Kristo,+ kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi. Kama walio badala ya Kristo, tunaomba: “Mpatanishwe na Mungu.”