Waroma 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja katika muungano na Kristo, lakini kila mmoja wetu ni kiungo cha mwingine.+ Waefeso 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kupitia kwake mwili wote+ unaunganishwa na kushirikiana kila kiungo kinapofanya kazi yake. Na kila kiungo kinapofanya kazi vizuri, hilo linafanya mwili ukue na kujijenga katika upendo.+
5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja katika muungano na Kristo, lakini kila mmoja wetu ni kiungo cha mwingine.+
16 Kupitia kwake mwili wote+ unaunganishwa na kushirikiana kila kiungo kinapofanya kazi yake. Na kila kiungo kinapofanya kazi vizuri, hilo linafanya mwili ukue na kujijenga katika upendo.+