1 Wakorintho 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mtu anapaswa kutuona kuwa wahudumu* wa Kristo na wasimamizi wa siri takatifu za Mungu.+ Waefeso 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Pia, msali kwa ajili yangu, kwamba ninapofungua kinywa changu nipewe maneno, ili niweze kuzungumza kwa ujasiri ninapojulisha siri takatifu ya habari njema,+
19 Pia, msali kwa ajili yangu, kwamba ninapofungua kinywa changu nipewe maneno, ili niweze kuzungumza kwa ujasiri ninapojulisha siri takatifu ya habari njema,+