Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Gavana alipomtolea Paulo ishara ili azungumze, akajibu:

      “Ninajua vema kwamba umekuwa mwamuzi wa taifa hili kwa miaka mingi, nami nafurahi kujitetea mbele yako.+

  • Matendo 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini ninakiri jambo hili kwako, kwamba kulingana na njia wanayoiita ‘madhehebu,’ hivyo ndivyo ninavyomtolea utumishi mtakatifu Mungu wa mababu zangu,+ kwa kuwa ninaamini mambo yote yaliyo katika Sheria na yaliyoandikwa katika Manabii.+

  • Matendo 25:10-12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini Paulo akasema: “Mimi nimesimama mbele ya kiti cha hukumu cha Kaisari, ambapo ninapaswa kuhukumiwa. Sijawakosea Wayahudi, nawe pia umegundua jambo hilo. 11 Ikiwa, kwa kweli mimi ni mkosaji na nimefanya jambo lolote linalostahili kifo,+ niko tayari kufa; lakini kama mashtaka ya watu hawa hayana msingi, hakuna mtu aliye na haki ya kunikabidhi kwao ili tu apate kibali chao. Ninakata rufaa kwa Kaisari!”+ 12 Ndipo Festo, baada ya kuzungumza na baraza la washauri, akajibu: “Umekata rufaa kwa Kaisari; nawe utaenda kwa Kaisari.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki