20 Akina ndugu, msiwe watoto wadogo katika uelewaji wenu,+ lakini iweni watoto wadogo kuhusiana na ubaya;+ nanyi muwe watu wazima katika uelewaji wenu.+
14 Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, ambao wamezoeza nguvu zao za utambuzi* kwa kuzitumia ili kutofautisha mambo yaliyo sawa na mambo yasiyo sawa.