Waroma 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kuwa wale wanaoishi kulingana na mwili hukaza akili zao kwenye mambo ya mwili,+ lakini wale wanaoishi kulingana na roho kwenye mambo ya roho.+ Yakobo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hii siyo hekima inayoshuka kutoka juu; bali ni ya kidunia,+ ya kinyama, na ya roho waovu.
5 Kwa kuwa wale wanaoishi kulingana na mwili hukaza akili zao kwenye mambo ya mwili,+ lakini wale wanaoishi kulingana na roho kwenye mambo ya roho.+