Yohana 18:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Yesu akajibu:+ “Ufalme wangu si sehemu ya ulimwengu huu.+ Kama Ufalme wangu ungekuwa sehemu ya ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi.+ Lakini, kama ilivyo, Ufalme wangu hautoki katika chanzo hiki.” Waefeso 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Isitoshe, alituinua pamoja na kutuketisha pamoja mahali pa kimbingu katika muungano na Kristo Yesu,+ Wakolosai 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hata hivyo, ikiwa mlifufuliwa pamoja na Kristo,+ endeleeni kutafuta mambo yaliyo juu, ambako Kristo ameketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu.+
36 Yesu akajibu:+ “Ufalme wangu si sehemu ya ulimwengu huu.+ Kama Ufalme wangu ungekuwa sehemu ya ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi.+ Lakini, kama ilivyo, Ufalme wangu hautoki katika chanzo hiki.”
6 Isitoshe, alituinua pamoja na kutuketisha pamoja mahali pa kimbingu katika muungano na Kristo Yesu,+
3 Hata hivyo, ikiwa mlifufuliwa pamoja na Kristo,+ endeleeni kutafuta mambo yaliyo juu, ambako Kristo ameketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu.+