Waefeso 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Zaidi ya hayo, Mungu aliwafanya muwe hai, ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+ Waefeso 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 alitufanya hai pamoja na Kristo, hata tulipokuwa wafu katika makosa+—mmeokolewa kupitia fadhili zisizostahiliwa.
5 alitufanya hai pamoja na Kristo, hata tulipokuwa wafu katika makosa+—mmeokolewa kupitia fadhili zisizostahiliwa.