1 Wathesalonike 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kwamba siku ya Yehova*+ inakuja kama vile mwizi anavyokuja usiku.+ 2 Petro 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 huku mkisubiri na kuweka karibu akilini* kuwapo kwa siku ya Yehova,*+ siku ambayo mbingu zitateketezwa+ kwa moto na vitu vya msingi vitayeyuka kwa joto kali!
2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kwamba siku ya Yehova*+ inakuja kama vile mwizi anavyokuja usiku.+
12 huku mkisubiri na kuweka karibu akilini* kuwapo kwa siku ya Yehova,*+ siku ambayo mbingu zitateketezwa+ kwa moto na vitu vya msingi vitayeyuka kwa joto kali!