Mathayo 24:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “Kuhusu siku hiyo na saa hiyo, hakuna mtu anayejua,+ hata malaika wa mbinguni wala Mwana, ila Baba tu.+ 2 Petro 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini siku ya Yehova*+ itakuja kama mwizi,+ siku ambayo mbingu zitapitilia mbali+ kwa mngurumo,* lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa, na dunia na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+
36 “Kuhusu siku hiyo na saa hiyo, hakuna mtu anayejua,+ hata malaika wa mbinguni wala Mwana, ila Baba tu.+
10 Lakini siku ya Yehova*+ itakuja kama mwizi,+ siku ambayo mbingu zitapitilia mbali+ kwa mngurumo,* lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa, na dunia na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+