Marko 13:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Kuhusu siku hiyo au saa hiyo hakuna mtu anayejua, wala malaika mbinguni wala Mwana, ila Baba.+ Matendo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Akawaambia: “Si juu yenu kujua nyakati au majira ambayo Baba ameweka katika mamlaka yake mwenyewe.+
7 Akawaambia: “Si juu yenu kujua nyakati au majira ambayo Baba ameweka katika mamlaka yake mwenyewe.+