Mathayo 24:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “Kuhusu siku hiyo na saa hiyo, hakuna mtu anayejua,+ hata malaika wa mbinguni wala Mwana, ila Baba tu.+ Matendo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Akawaambia: “Si juu yenu kujua nyakati au majira ambayo Baba ameweka katika mamlaka yake mwenyewe.+
36 “Kuhusu siku hiyo na saa hiyo, hakuna mtu anayejua,+ hata malaika wa mbinguni wala Mwana, ila Baba tu.+
7 Akawaambia: “Si juu yenu kujua nyakati au majira ambayo Baba ameweka katika mamlaka yake mwenyewe.+