Danieli 2:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Danieli akasema: “Jina la Mungu na lisifiwe kwa umilele wote,*Kwa maana hekima na uwezo ni wake peke yake.+ 21 Yeye hubadili nyakati na majira,+Huwaondoa wafalme na kuwaweka wafalme,+Huwapa hekima walio na hekima na kuwapa ujuzi wale walio na utambuzi.+ Mathayo 24:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “Kuhusu siku hiyo na saa hiyo, hakuna mtu anayejua,+ hata malaika wa mbinguni wala Mwana, ila Baba tu.+
20 Danieli akasema: “Jina la Mungu na lisifiwe kwa umilele wote,*Kwa maana hekima na uwezo ni wake peke yake.+ 21 Yeye hubadili nyakati na majira,+Huwaondoa wafalme na kuwaweka wafalme,+Huwapa hekima walio na hekima na kuwapa ujuzi wale walio na utambuzi.+
36 “Kuhusu siku hiyo na saa hiyo, hakuna mtu anayejua,+ hata malaika wa mbinguni wala Mwana, ila Baba tu.+