5 ‘Mimi ndiye niliyeiumba dunia, wanadamu, na wanyama walio duniani kwa nguvu zangu kuu na kwa mkono wangu ulionyooshwa; nami nimempa yeyote ninayetaka.*+
17 Hilo ni kwa agizo la walinzi,+ na ombi hilo ni kwa neno la watakatifu, ili watu walio hai wajue kwamba Aliye Juu Zaidi ni Mtawala katika ufalme wa wanadamu+ na kwamba yeye humpa ufalme huo yeyote anayetaka kumpa, naye humweka juu ya ufalme huo hata mwanadamu wa hali ya chini zaidi.”