Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova humfanya mtu awe maskini, naye hutajirisha;+

      Hushusha, naye hukweza.+

  • Danieli 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yeye hubadili nyakati na majira,+

      Huwaondoa wafalme na kuwaweka wafalme,+

      Huwapa hekima walio na hekima na kuwapa ujuzi wale walio na utambuzi.+

  • Danieli 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hilo ni kwa agizo la walinzi,+ na ombi hilo ni kwa neno la watakatifu, ili watu walio hai wajue kwamba Aliye Juu Zaidi ni Mtawala katika ufalme wa wanadamu+ na kwamba yeye humpa ufalme huo yeyote anayetaka kumpa, naye humweka juu ya ufalme huo hata mwanadamu wa hali ya chini zaidi.”

  • Luka 1:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Amewashusha watu wenye nguvu kutoka kwenye viti vya ufalme+ na kuwainua watu wa hali ya chini;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki