26 Yeye humpa mtu anayempendeza hekima na ujuzi na shangwe,+ lakini humpa mtenda dhambi kazi ya kukusanya na kurundika tu, ili ampe yule anayempendeza Mungu wa kweli.+ Hili pia ni ubatili, kukimbiza upepo.
5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima, na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu,*+ naye atapewa.+