1 Samweli 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Daudi akaendelea kufanikiwa*+ katika mambo yote aliyofanya, na Yehova alikuwa pamoja naye.+ Methali 3:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana Yehova humchukia mtu mwenye hila,+Lakini ana urafiki wa karibu na watu wanyoofu.+ 33 Laana ya Yehova iko juu ya nyumba ya mwovu,+Lakini huyabariki makao ya mwadilifu.+ Isaya 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Waambie waadilifu kwamba mambo yatawaendea vema;Watathawabishwa kwa yale wanayotenda.*+
32 Kwa maana Yehova humchukia mtu mwenye hila,+Lakini ana urafiki wa karibu na watu wanyoofu.+ 33 Laana ya Yehova iko juu ya nyumba ya mwovu,+Lakini huyabariki makao ya mwadilifu.+