Zaburi 15:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova, ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema lako? Ni nani anayeweza kukaa katika mlima wako mtakatifu?+ 2 Yule anayetembea bila kosa,*+Anayezoea kutenda yaliyo sawa+Na kusema ukweli moyoni mwake.+ Zaburi 24:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+Na ni nani anayeweza kusimama mahali pake patakatifu? 4 Yeyote mwenye mikono isiyo na hatia na mwenye moyo safi,+Ambaye hajaapa kwa uwongo kwa uhai Wangu,*Wala kuapa kwa udanganyifu.+ Zaburi 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+Naye huwajulisha agano lake.+
15 Ee Yehova, ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema lako? Ni nani anayeweza kukaa katika mlima wako mtakatifu?+ 2 Yule anayetembea bila kosa,*+Anayezoea kutenda yaliyo sawa+Na kusema ukweli moyoni mwake.+
3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+Na ni nani anayeweza kusimama mahali pake patakatifu? 4 Yeyote mwenye mikono isiyo na hatia na mwenye moyo safi,+Ambaye hajaapa kwa uwongo kwa uhai Wangu,*Wala kuapa kwa udanganyifu.+