Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 33:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yule anayetembea katika uadilifu wa daima,+

      Anayesema mambo manyoofu,+

      Anayekataa faida isiyo ya haki, ya ulaghai,

      Ambaye mikono yake inakataa rushwa badala ya kuichukua kwa nguvu,+

      Anayeziba sikio lake ili lisisikilize mazungumzo ya umwagaji wa damu,

      Na anayefunga macho yake ili yasione maovu

      16 —Atakaa katika vilele;

      Kimbilio lake salama* litakuwa katika ngome zilizo kwenye miamba,

      Atapewa mkate wake,

      Naye maji yake hayataisha kamwe.”+

  • Matendo 10:34, 35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Ndipo Petro akaanza kuzungumza, akasema: “Kwa hakika ninaona kwamba Mungu hana ubaguzi,+ 35 lakini katika kila taifa mtu anayemwogopa na kutenda uadilifu anakubaliwa naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki