Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 19:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kisha akalala chini na kushikwa na usingizi chini ya mti huo wa mretemu. Lakini kwa ghafla malaika akamgusa+ na kumwambia: “Amka, ule.”+ 6 Alipoangalia, aliona karibu na kichwa chake mkate wa mviringo ukiwa juu ya mawe yenye moto na pia gudulia la maji. Akala na kunywa na kulala chini tena.

  • Zaburi 34:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mwogopeni Yehova, ninyi nyote watakatifu wake,

      Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+

      כ [Kaph]

      10 Hata wanasimba* wenye nguvu wamelemewa na njaa,

      Lakini wale wanaomtafuta Yehova hawatakosa chochote chema.+

  • Isaya 65:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

      “Tazama! Watumishi wangu watakula, lakini ninyi mtakuwa na njaa.+

      Tazama! Watumishi wangu watakunywa,+ lakini ninyi mtakuwa na kiu.

      Tazama! Watumishi wangu watashangilia,+ lakini ninyi mtaona aibu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki