-
Danieli 10:8-10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Kisha nikabaki peke yangu, na nilipoona maono hayo makubwa nguvu ziliniishia na sura yangu ya heshima ikatoweka, nikapoteza nguvu zote.+ 9 Kisha nikasikia sauti yake akizungumza; lakini nilipomsikia akizungumza, nikalala kifudifudi ardhini na kushikwa na usingizi mzito.+ 10 Lakini mkono ukanigusa,+ ukanitikisa ili niinuke kwa mikono na magoti yangu.
-