28 “Huu ndio mwisho wa jambo hilo. Basi mimi, Danieli, mawazo yangu yaliniogopesha sana, hivi kwamba uso wangu ukabadilika* rangi; lakini niliweka jambo hilo katika moyo wangu mwenyewe.”
27 Basi mimi, Danieli, nilichoka sana nikawa mgonjwa kwa siku kadhaa.+ Kisha nikaamka na kufanya kazi ya mfalme;+ lakini mambo niliyokuwa nimeona yalifanya nife ganzi, na hakuna yeyote aliyeweza kuelewa maono hayo.+