Mwanzo 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova akasema: “Kwa nini nimfiche Abrahamu jambo ninalokusudia kufanya?+ Mwanzo 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 hakika nitakubariki, nami hakika nitaufanya uzao* wako uwe mwingi kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari,+ na uzao* wako utamiliki lango la* maadui wake.+ Amosi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya jambo loloteKabla hajawafunulia watumishi wake manabii siri yake.+
17 hakika nitakubariki, nami hakika nitaufanya uzao* wako uwe mwingi kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari,+ na uzao* wako utamiliki lango la* maadui wake.+
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya jambo loloteKabla hajawafunulia watumishi wake manabii siri yake.+