Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Baada ya hayo Mungu akamwambia Noa: “Nimeamua kuwaangamiza wanadamu wote, kwa sababu wameijaza dunia ukatili, kwa hiyo nitawaangamiza pamoja na dunia.+

  • Mwanzo 18:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yehova akasema: “Kwa nini nimfiche Abrahamu jambo ninalokusudia kufanya?+

  • Zaburi 25:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+

      Naye huwajulisha agano lake.+

  • Isaya 42:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tazameni, mambo ya kwanza yametokea;

      Sasa ninatangaza mambo mapya.

      Kabla hayajatokea, ninawaambia kuyahusu.”+

  • Danieli 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye akanipa uelewaji akisema:

      “Ee Danieli, sasa nimekuja kukupa ufahamu na uelewaji.

  • Ufunuo 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Ufunuo* kupitia Yesu Kristo, ambao Mungu alimpa+ ili kuwaonyesha watumwa wake+ mambo yanayopaswa kutukia hivi karibuni. Naye alimtuma malaika wake na kupitia yeye akautoa kwa ishara kwa mtumwa wake Yohana,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki