Mathayo 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Haya ndiyo majina ya wale mitume 12:+ Simoni, aitwaye Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; Yakobo na Yohana+ wana wa Zebedayo; Marko 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu aliposonga mbele kidogo akawaona Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, kwenye mashua wakitengeneza nyavu zao,+ Yohana 21:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Petro alipogeuka, akamwona mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda+ akiwafuata, yule ambaye kwenye mlo wa jioni alikuwa ameegemea nyuma kifuani pa Yesu, akamuuliza: “Bwana, ni nani anayekusaliti?”
2 Haya ndiyo majina ya wale mitume 12:+ Simoni, aitwaye Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; Yakobo na Yohana+ wana wa Zebedayo;
19 Yesu aliposonga mbele kidogo akawaona Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, kwenye mashua wakitengeneza nyavu zao,+
20 Petro alipogeuka, akamwona mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda+ akiwafuata, yule ambaye kwenye mlo wa jioni alikuwa ameegemea nyuma kifuani pa Yesu, akamuuliza: “Bwana, ni nani anayekusaliti?”