Mathayo 4:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Alipoenda mbele kidogo akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo.+ Walikuwa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo wakitengeneza nyavu zao, naye akawaita.+ 22 Mara moja wakaacha ile mashua na baba yao, wakamfuata.
21 Alipoenda mbele kidogo akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo.+ Walikuwa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo wakitengeneza nyavu zao, naye akawaita.+ 22 Mara moja wakaacha ile mashua na baba yao, wakamfuata.