Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Haya ndiyo majina ya wale mitume 12:+ Simoni, aitwaye Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; Yakobo na Yohana+ wana wa Zebedayo;

  • Mathayo 27:55, 56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Na wanawake wengi ambao walikuwa wamemfuata Yesu kutoka Galilaya ili kumhudumia walikuwa wakitazama kwa mbali;+ 56 miongoni mwao kulikuwa na Maria Magdalene, Maria mama ya Yakobo na Yose, na pia mama ya wana wa Zebedayo.+

  • Marko 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo (ambao pia aliwaita Boanerge, jina linalomaanisha “Wana wa Ngurumo”),+

  • Marko 10:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo,+ wakaenda na kumwambia: “Mwalimu, tunataka utufanyie chochote tutakachokuomba.”+

  • Yohana 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Simoni Petro, Tomasi (aliyeitwa Pacha),+ Nathanaeli+ kutoka Kana ya Galilaya, wana wa Zebedayo,+ na wanafunzi wake wengine wawili, walikuwa pamoja.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki