Mathayo 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Haya ndiyo majina ya wale mitume 12:+ Simoni, aitwaye Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; Yakobo na Yohana+ wana wa Zebedayo; Mathayo 27:55, 56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Na wanawake wengi ambao walikuwa wamemfuata Yesu kutoka Galilaya ili kumhudumia walikuwa wakitazama kwa mbali;+ 56 miongoni mwao kulikuwa na Maria Magdalene, Maria mama ya Yakobo na Yose, na pia mama ya wana wa Zebedayo.+ Marko 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo (ambao pia aliwaita Boanerge, jina linalomaanisha “Wana wa Ngurumo”),+ Marko 10:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo,+ wakaenda na kumwambia: “Mwalimu, tunataka utufanyie chochote tutakachokuomba.”+ Yohana 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Simoni Petro, Tomasi (aliyeitwa Pacha),+ Nathanaeli+ kutoka Kana ya Galilaya, wana wa Zebedayo,+ na wanafunzi wake wengine wawili, walikuwa pamoja.
2 Haya ndiyo majina ya wale mitume 12:+ Simoni, aitwaye Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; Yakobo na Yohana+ wana wa Zebedayo;
55 Na wanawake wengi ambao walikuwa wamemfuata Yesu kutoka Galilaya ili kumhudumia walikuwa wakitazama kwa mbali;+ 56 miongoni mwao kulikuwa na Maria Magdalene, Maria mama ya Yakobo na Yose, na pia mama ya wana wa Zebedayo.+
17 Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo (ambao pia aliwaita Boanerge, jina linalomaanisha “Wana wa Ngurumo”),+
35 Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo,+ wakaenda na kumwambia: “Mwalimu, tunataka utufanyie chochote tutakachokuomba.”+
2 Simoni Petro, Tomasi (aliyeitwa Pacha),+ Nathanaeli+ kutoka Kana ya Galilaya, wana wa Zebedayo,+ na wanafunzi wake wengine wawili, walikuwa pamoja.