Marko 1:19, 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu aliposonga mbele kidogo akawaona Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, kwenye mashua wakitengeneza nyavu zao,+ 20 na bila kukawia akawaita. Nao wakamwacha baba yao Zebedayo katika mashua pamoja na wafanyakazi, kisha wakamfuata Yesu.
19 Yesu aliposonga mbele kidogo akawaona Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, kwenye mashua wakitengeneza nyavu zao,+ 20 na bila kukawia akawaita. Nao wakamwacha baba yao Zebedayo katika mashua pamoja na wafanyakazi, kisha wakamfuata Yesu.