Amosi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya jambo loloteKabla hajawafunulia watumishi wake manabii siri yake.+ Ufunuo 7:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 akisema: “Msiidhuru dunia au bahari au miti, hadi tutakapowatia muhuri+ watumwa wa Mungu wetu katika mapaji ya nyuso zao.”+ 4 Nami nikaisikia idadi ya wale waliotiwa muhuri, 144,000,+ waliotiwa muhuri kutoka kila kabila la wana wa Israeli:+
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya jambo loloteKabla hajawafunulia watumishi wake manabii siri yake.+
3 akisema: “Msiidhuru dunia au bahari au miti, hadi tutakapowatia muhuri+ watumwa wa Mungu wetu katika mapaji ya nyuso zao.”+ 4 Nami nikaisikia idadi ya wale waliotiwa muhuri, 144,000,+ waliotiwa muhuri kutoka kila kabila la wana wa Israeli:+