14Kisha nikaona, na tazama! Mwanakondoo+ amesimama juu ya Mlima Sayuni,+ na pamoja naye 144,000+ walioandikwa jina lake na jina la Baba yake+ kwenye mapaji ya nyuso zao.
3 Nao wanaimba kana kwamba ni wimbo mpya+ mbele ya kile kiti cha ufalme na mbele ya wale viumbe hai wanne+ na wale wazee,+ na hakuna yeyote aliyeweza kujifunza kikamili wimbo ule ila wale 144,000,+ ambao wamenunuliwa kutoka duniani.