2 Wakorintho 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye pia ametia muhuri wake juu yetu+ naye ametupatia rehani ya kile kitakachokuja,* yaani, roho,+ katika mioyo yetu. Waefeso 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini ninyi pia mlimtumaini baada ya kulisikia neno la kweli, habari njema kuhusu wokovu wenu. Baada ya kuamini, mlitiwa muhuri+ kupitia kwake kwa roho takatifu iliyoahidiwa, Waefeso 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Pia, msiwe mkiihuzunisha roho takatifu ya Mungu,+ ambayo kupitia hiyo mmetiwa muhuri+ kwa ajili ya siku ambayo mtawekwa huru kupitia fidia.+
22 Yeye pia ametia muhuri wake juu yetu+ naye ametupatia rehani ya kile kitakachokuja,* yaani, roho,+ katika mioyo yetu.
13 Lakini ninyi pia mlimtumaini baada ya kulisikia neno la kweli, habari njema kuhusu wokovu wenu. Baada ya kuamini, mlitiwa muhuri+ kupitia kwake kwa roho takatifu iliyoahidiwa,
30 Pia, msiwe mkiihuzunisha roho takatifu ya Mungu,+ ambayo kupitia hiyo mmetiwa muhuri+ kwa ajili ya siku ambayo mtawekwa huru kupitia fidia.+