2 Wakorintho 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye pia ametia muhuri wake juu yetu+ naye ametupatia rehani ya kile kitakachokuja,* yaani, roho,+ katika mioyo yetu. Waefeso 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Pia, msiwe mkiihuzunisha roho takatifu ya Mungu,+ ambayo kupitia hiyo mmetiwa muhuri+ kwa ajili ya siku ambayo mtawekwa huru kupitia fidia.+ Ufunuo 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikaisikia idadi ya wale waliotiwa muhuri, 144,000,+ waliotiwa muhuri kutoka kila kabila la wana wa Israeli:+
22 Yeye pia ametia muhuri wake juu yetu+ naye ametupatia rehani ya kile kitakachokuja,* yaani, roho,+ katika mioyo yetu.
30 Pia, msiwe mkiihuzunisha roho takatifu ya Mungu,+ ambayo kupitia hiyo mmetiwa muhuri+ kwa ajili ya siku ambayo mtawekwa huru kupitia fidia.+
4 Nami nikaisikia idadi ya wale waliotiwa muhuri, 144,000,+ waliotiwa muhuri kutoka kila kabila la wana wa Israeli:+