Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 2:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa ya mtu huyo hutoka kwa Mungu, si kwa wanadamu.+

  • Waroma 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hata hivyo, si kwamba neno la Mungu limeshindwa. Kwa maana si wote wanaotokana na Israeli ni “Israeli” kihalisi.+

  • Wagalatia 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wale wote wanaotembea kwa utaratibu kwa kanuni hii ya mwenendo, juu yao na kuwe na amani na rehema, ndiyo, juu ya Israeli wa Mungu.+

  • Ufunuo 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lilikuwa na ukuta mkubwa na mrefu sana nalo lilikuwa na malango 12, na malaika 12 kwenye malango hayo, na majina ya makabila 12 ya wana wa Israeli yalikuwa yameandikwa kwenye malango hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki