Waroma 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini sasa tumewekwa huru kutoka katika Sheria,+ kwa sababu tumekufa kwa kile ambacho kilituzuia, ili tuwe watumwa katika maana mpya kwa roho,+ wala si katika maana ya zamani kwa sheria zilizoandikwa.+
6 Lakini sasa tumewekwa huru kutoka katika Sheria,+ kwa sababu tumekufa kwa kile ambacho kilituzuia, ili tuwe watumwa katika maana mpya kwa roho,+ wala si katika maana ya zamani kwa sheria zilizoandikwa.+