-
Ufunuo 21:12Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
12 Lilikuwa na ukuta mkubwa na ulioinuka juu sana na lilikuwa na malango kumi na mawili, na kwenye hayo malango malaika kumi na wawili, na majina yalikuwa yameandikwa ambayo ni yale ya makabila kumi na mawili ya wana wa Israeli.
-