Methali 3:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana Yehova humchukia mtu mwenye hila,+Lakini ana urafiki wa karibu na watu wanyoofu.+ Waefeso 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo, kwa sababu mmeacha udanganyifu, semeni ukweli kila mmoja na mwenzake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mwili mmoja.+
25 Kwa hiyo, kwa sababu mmeacha udanganyifu, semeni ukweli kila mmoja na mwenzake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mwili mmoja.+