Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 31:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Tazama, nimemchagua* Bezaleli+ mwana wa Uri mwana wa Huru wa kabila la Yuda.+ 3 Nitamjaza roho ya Mungu, na kumpa hekima, uelewaji, na ujuzi katika kila aina ya ufundi,

  • 1 Wafalme 4:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Naye Mungu akampa Sulemani hekima na utambuzi mwingi sana na moyo wenye uelewaji mwingi kama mchanga kwenye ufuo wa bahari.+

  • 2 Timotheo 3:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu+ nalo ni lenye faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia, kwa kunyoosha* mambo, kwa kutia nidhamu katika uadilifu,+ 17 ili mtu wa Mungu awe na uwezo kamili, akiwa na vifaa kamili kwa ajili ya kila kazi njema.

  • Yakobo 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini hekima inayotoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haina ubaguzi,+ na si ya kinafiki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki