1 Wafalme 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa hiyo Mfalme Sulemani alikuwa na utajiri+ mwingi zaidi na hekima+ kuliko wafalme wengine wote duniani. 2 Mambo ya Nyakati 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa nipe hekima na ujuzi+ ili niwaongoze watu hawa,* kwa maana ni nani anayeweza kulihukumu taifa hili lako lililo kubwa?”+ Methali 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova mwenyewe hutoa hekima;+Na kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi.
23 Kwa hiyo Mfalme Sulemani alikuwa na utajiri+ mwingi zaidi na hekima+ kuliko wafalme wengine wote duniani.
10 Sasa nipe hekima na ujuzi+ ili niwaongoze watu hawa,* kwa maana ni nani anayeweza kulihukumu taifa hili lako lililo kubwa?”+