Methali 2:3-6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Pia, ukiuita uelewaji kwa sauti+Na kupaza sauti yako upate utambuzi;+ 4 Ukiendelea kuutafuta kama fedha,*+Na kuendelea kuutafuta sana kama hazina zilizofichika;+ 5 Ndipo utakapoelewa kumwogopa Yehova,+Nawe utapata ujuzi kumhusu Mungu.+ 6 Kwa maana Yehova mwenyewe hutoa hekima;+Na kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi. Yohana 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mkikaa katika muungano pamoja nami, na maneno yangu yakae ndani yenu, ombeni chochote mnachotaka nanyi mtapewa.+ 1 Yohana 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na huu ndio uhakika tulio nao kwake,+ kwamba tukiomba chochote kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+
3 Pia, ukiuita uelewaji kwa sauti+Na kupaza sauti yako upate utambuzi;+ 4 Ukiendelea kuutafuta kama fedha,*+Na kuendelea kuutafuta sana kama hazina zilizofichika;+ 5 Ndipo utakapoelewa kumwogopa Yehova,+Nawe utapata ujuzi kumhusu Mungu.+ 6 Kwa maana Yehova mwenyewe hutoa hekima;+Na kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi.
7 Mkikaa katika muungano pamoja nami, na maneno yangu yakae ndani yenu, ombeni chochote mnachotaka nanyi mtapewa.+
14 Na huu ndio uhakika tulio nao kwake,+ kwamba tukiomba chochote kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+