Yeremia 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Lakini yule anayejigamba na ajigambe* kwa jambo hili: Kwamba ana ufahamu na ujuzi kunihusu,+Kwamba mimi ni Yehova, Ninayetenda kwa upendo mshikamanifu, haki, na uadilifu duniani,+Kwa maana ninapendezwa na mambo hayo,”+ asema Yehova. 1 Yohana 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja,+ naye ametupatia ufahamu* ili tuweze kumjua yule aliye wa kweli. Nasi tumo katika muungano na yule aliye wa kweli,+ kupitia Mwana wake, Yesu Kristo. Huyo ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele.+
24 “Lakini yule anayejigamba na ajigambe* kwa jambo hili: Kwamba ana ufahamu na ujuzi kunihusu,+Kwamba mimi ni Yehova, Ninayetenda kwa upendo mshikamanifu, haki, na uadilifu duniani,+Kwa maana ninapendezwa na mambo hayo,”+ asema Yehova.
20 Hata hivyo, tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja,+ naye ametupatia ufahamu* ili tuweze kumjua yule aliye wa kweli. Nasi tumo katika muungano na yule aliye wa kweli,+ kupitia Mwana wake, Yesu Kristo. Huyo ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele.+