-
2 Wathesalonike 1:11, 12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Kwa hiyo, tunasali sikuzote kwa ajili yenu, kwamba Mungu wetu awahesabu kuwa mnastahili mwito wake+ na kwa nguvu zake kufanya kikamili mambo yote yanayompendeza na kila kazi ya imani. 12 Ili jina la Bwana wetu Yesu litukuzwe ndani yenu nanyi katika muungano naye, kulingana na fadhili zisizostahiliwa za Mungu wetu na za Bwana Yesu Kristo.
-