10 na hivyo mtembee kwa kumstahili Yehova* ili kumpendeza kikamili mnapoendelea kuzaa matunda katika kila kazi njema na kuongezeka katika ujuzi sahihi wa Mungu;+
12 Dumisheni mwenendo wenu ukiwa mzuri kati ya mataifa,+ ili wanapowashutumu kuwa watenda dhambi, washuhudie kwa macho yao matendo yenu mazuri+ na hivyo wamtukuze Mungu katika siku ya ukaguzi wake.