Yohana 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baada ya kusema hayo, akawaambia: “Rafiki yetu Lazaro amelala usingizi,+ lakini ninasafiri kwenda huko ili kumwamsha.” Matendo 7:59, 60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Walipokuwa wakimpiga mawe Stefano, akaomba hivi: “Bwana Yesu, pokea roho yangu.” 60 Kisha akapiga magoti, akasema kwa sauti kubwa: “Yehova,* usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo, akalala usingizi katika kifo. 1 Wakorintho 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya 500 kwa wakati mmoja,+ na wengi kati yao bado tuko nao, ingawa wengine wamelala usingizi katika kifo.
11 Baada ya kusema hayo, akawaambia: “Rafiki yetu Lazaro amelala usingizi,+ lakini ninasafiri kwenda huko ili kumwamsha.”
59 Walipokuwa wakimpiga mawe Stefano, akaomba hivi: “Bwana Yesu, pokea roho yangu.” 60 Kisha akapiga magoti, akasema kwa sauti kubwa: “Yehova,* usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo, akalala usingizi katika kifo.
6 Baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya 500 kwa wakati mmoja,+ na wengi kati yao bado tuko nao, ingawa wengine wamelala usingizi katika kifo.