2 Wakorintho 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, aliyehubiriwa miongoni mwenu kupitia sisi, yaani, kupitia mimi na Silvano* na Timotheo,+ hakuwa “ndiyo” na wakati uleule “siyo,” bali kuhusiana naye “ndiyo” imekuwa “ndiyo.”
19 Kwa maana Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, aliyehubiriwa miongoni mwenu kupitia sisi, yaani, kupitia mimi na Silvano* na Timotheo,+ hakuwa “ndiyo” na wakati uleule “siyo,” bali kuhusiana naye “ndiyo” imekuwa “ndiyo.”