4Hata hivyo, neno lililoongozwa na roho linasema* wazi kwamba wakati ujao watu fulani wataiacha imani, wakisikiliza maneno ya uwongo yaliyoongozwa na roho waovu*+ na mafundisho ya roho waovu,
3 Kwa maana kutakuwa na wakati ambapo hawatalivumilia fundisho lenye manufaa,*+ bali, kulingana na tamaa zao, watajikusanyia walimu ili masikio yao yafurahishwe.*+4 Wataacha kuisikiliza ile kweli, nao watageukia hadithi za uwongo.