Matendo 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hivyo kwa njia yenye nguvu, neno la Yehova* likazidi kukua na kusitawi.+ 1 Wathesalonike 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa kweli, mmelitangaza neno la Yehova* katika Makedonia na Akaya, na pia kila mahali watu wamesikia kuhusu imani yenu katika Mungu,+ hivi kwamba hatuhitaji kusema lolote.
8 Kwa kweli, mmelitangaza neno la Yehova* katika Makedonia na Akaya, na pia kila mahali watu wamesikia kuhusu imani yenu katika Mungu,+ hivi kwamba hatuhitaji kusema lolote.