2 Wathesalonike 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa akina ndugu, tunawaagiza katika jina la Bwana Yesu Kristo, mjiepushe na kila ndugu asiyefuata utaratibu+ na desturi* mlizopokea* kutoka kwetu.+
6 Sasa akina ndugu, tunawaagiza katika jina la Bwana Yesu Kristo, mjiepushe na kila ndugu asiyefuata utaratibu+ na desturi* mlizopokea* kutoka kwetu.+